Matthew 19:13
Yesu Awabariki Watoto Wadogo
(Marko 10:13-16; Luka 18:15-17)
13 aKisha watoto wadogo wakaletwa kwa Yesu ili aweke mikono yake juu yao na awaombee. Lakini wanafunzi wake wakawakemea wale waliowaleta.
Copyright information for
SwhNEN