Psalms 20:1-3
Maombi Kwa Ajili Ya Ushindi
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
1 a Bwana na akujibu unapokuwa katika dhiki,jina la Mungu wa Yakobo na liwe kinga yako.
2 bNa akutumie msaada kutoka patakatifu
na akupatie msaada kutoka Sayuni.
3 cNa azikumbuke dhabihu zako zote,
na azikubali sadaka zako za kuteketezwa.
Copyright information for
SwhNEN