Psalms 58:1-2
Mungu Kuwaadhibu Waovu
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi.
1Enyi watawala, je, kweli mwanena kwa haki?
Je, mnahukumu kwa unyofu miongoni mwa watu?
2 aLa, mioyoni mwenu mnatunga udhalimu,
na mikono yenu hupima jeuri duniani.
Copyright information for
SwhNEN