Exodus 28:1-2

Mavazi Ya Kikuhani

(Kutoka 39:1-7)

1 a“Mtwae Haruni ndugu yako aliyeletwa kwako kutoka miongoni mwa Waisraeli, pamoja na wanawe Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari, ili wanitumikie katika kazi ya ukuhani. 2 bMshonee Haruni ndugu yako mavazi matakatifu ili yampe ukuu na heshima.
Copyright information for SwhKC