Isaiah 6:2-3
2 aJuu yake walikuwepo maserafi, kila mmoja alikuwa na mabawa sita: Kwa mabawa mawili walifunika nyuso zao, kwa mengine mawili walifunika miguu yao, na kwa mawili walikuwa wakiruka. 3 bNao walikuwa wakiitana kila mmoja na mwenzake: “Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifuni Bwana Mwenye Nguvu Zote;
dunia yote imejaa utukufu wake.”
Copyright information for
SwhKC