Joel 3:2
2 anitayakusanya mataifa yote na kuyaletakatika Bonde la Yehoshafati ▼
▼Yehoshafati maana yake Bwana huhukumu.
Hapo nitaingia kwenye hukumu dhidi yao
kuhusu urithi wangu, watu wangu Israeli,
kwa kuwa waliwatawanya watu wangu
miongoni mwa mataifa
na kuigawa nchi yangu.
Copyright information for
SwhNEN